Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 6:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Uturuhusu tuende Yordani tukate kila mutu muti mumoja kusudi tujijengee pahali pa kututoshelea.” Elisha akawajibu: “Mwende.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 6:2
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja, wanafunzi wa manabii walimulalamikia Elisha wakisema: “Pahali hapa tunapokaa ni padogo sana kwetu!


Mumoja wao akamwomba akisema: “Tafazali ninakusihi uende pamoja na watumishi wako.” Naye akajibu: “Nitakwenda.”


Simoni Petro akawaambia wenzake hivi: “Ninakwenda kuvua samaki.” Nao wakamwambia: “Na sisi vilevile tutakwenda pamoja nawe.” Basi wakaondoka, wakaingia katika chombo. Usiku ule hawakupata kitu.


Naye akakaa na kutumika pamoja nao, kwa maana wote walikuwa wafundi wa kutengeneza hema.


Au ni mimi na Barnaba tu ndio tunaopaswa kujitumikia wenyewe kwa kupata vifaa vya maisha?


Wandugu, munakumbuka namna tulivyosumbuka na kazi ngumu. Wakati tulipowahubiria Habari Njema ya Mungu, tulitumika muchana na usiku kusudi tusimulemee hata mutu mumoja kati yenu.


Sisi hatukukula chakula cha mutu kwa bure, lakini tulitumika na kuchoka sana. Tulitumika muchana na usiku kusudi tusilemee hata mutu mumoja kati yenu.


Hakika, dini ni pato kubwa kwa mutu kama anafurahia vitu anavyokuwa navyo.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ