2 Wafalme 5:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Namani akaenda na farasi wake na gari lake mpaka kwenye mulango wa Elisha. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Halafu akatuma mujumbe kwenda kumuleta Elisha. Wakati uleule, Elisha alikuwa ndani ya nyumba pamoja na wazee waliomutembelea. Mbele ya kufika kwa mujumbe wa mufalme, Elisha akawaambia wazee: “Yule mwuaji amemutuma mutu kuja kunikata kichwa! Atakapofika hapa, mufunge mulango, wala musimuruhusu aingie. Vilevile bwana wake anamufuata nyuma.”