2 Wafalme 5:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20028 Elisha, nabii wa Mungu, alipopata habari kwamba mufalme wa Israeli amepasua nguo zake, alituma ujumbe kwa mufalme, akamwuliza: “Kwa sababu gani umepasua nguo zako? Umutume mutu huyo kwangu, kusudi apate kujua kwamba kuna nabii katika Israeli!” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |