Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 5:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Barua yenyewe iliandikwa hivi: “Ninakutumia jemadari wangu Namani pamoja na barua hii, kusudi upate kumuponyesha ugonjwa wake.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 5:6
3 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Kwa sababu kati yenu kuna wana wa mufalme, vilevile kuna farasi na magari, silaha na miji yenye kuta,


Mufalme wa Aramu akamwambia: “Twaa barua hii umupelekee mufalme wa Israeli.” Hivyo Namani akaondoka, akipeleka vikoroti elfu makumi tatu vya feza, vikoroti elfu sita vya zahabu na nguo kumi za sikukuu.


Mufalme wa Israeli aliposoma barua hii alipasua nguo yake na kusema: “Sababu gani mufalme wa Aramu anataka nimuponyeshe mutu huyu ukoma wake? Anafikiri kwamba mimi ni Mungu anayekuwa na uwezo wa kuua au kufufua? Mufahamu basi, muone kwamba mutu huyu anataka kuniletea ugomvi!”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ