Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 5:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Katika vita walivyokuwa wakipigana na Waisraeli, Waaramu walikuwa wamemukamata binti mumoja mudogo kutoka Israeli kuwa mufungwa, naye akakuwa anamutumikia muke wa Namani.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 5:2
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Elisha akakufa, naye akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia inchi ya watu wa Israeli.


Siku moja akamwambia bibi yake, muke wa Namani: “Ingekuwa heri bwana wangu angekwenda na kumwona yule nabii anayekuwa Samaria! Angemuponyesha ugonjwa wake.”


Mufalme wa Israeli akawafanyia karamu kubwa. Walipomaliza kula na kunywa, akawarudisha kwa bwana wao. Toka wakati ule, Waaramu hawakuishambulia tena inchi ya Israeli.


Kama watumishi wanavyomutegemea bwana wao, kama mujakazi anavyomutegemea bibi mukubwa wake, ndivyo nasi tunavyokutegemea wewe, ee Yawe, Mungu wetu, mpaka hapo utakapotuonea huruma.


Abimeleki akaondoka na watu waliokuwa pamoja naye kuja Sekemu wakati wa usiku. Aliwagawanya watu wake katika vikundi vine na kuvizia kule karibu na muji.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ