2 Wafalme 5:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Namani, jemadari wa waaskari wa mufalme wa Aramu, alikuwa mutu mukubwa aliyeheshimiwa sana na bwana wake, maana kwa njia yake Yawe aliiletea inchi ya Waaramu ushindi. Alikuwa askari hodari, lakini alikuwa na ugonjwa wa ukoma. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |