Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 4:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Akarudi kwa mutu wa Mungu na kumweleza habari hiyo. Naye mutu wa Mungu akamwambia: “Kwenda uuzishe hayo mafuta na kulipa madeni yako, ndipo wewe na wana wako mutaishi kwa kutumia hayo yatakayobaki.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 4:7
11 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini ujumbe huu wa Mungu ulitolewa kwa Semaya, mutu wa Mungu:


Mama yake akamupeleka na kumulalisha kwenye kitanda cha mutu wa Mungu, akaufunga mulango na kuondoka.


Mama yule akamwambia mume wake: “Sina shaka kwamba mutu huyu anayefika kwetu kila mara ni mutakatifu wa Mungu.


Elisha akamwamuru alikamate naye akanyoosha mukono, akalikamata.


Lakini Elisha akamupelekea mufalme wa Israeli habari afanye angalisho na pahali pale, kwa sababu Waaramu walikuwa tayari kupashambulia.


Mutu mwovu anakopesha bila kurudisha; lakini mutu wa haki anatoa kwa moyo safi.


Musimurudishie mutu ubaya kwa ubaya. Mukuwe na roho ya kufanya mema mbele ya watu wote.


Kwa kumaliza, wandugu zangu, muweke mafikiri yenu juu ya mambo yote yanayokuwa ya kweli, ya heshima, ya haki, safi, ya kupendeza, nayo mambo yote yanayostahili sifa na ya utu wema.


Hivi mutakuwa na mwenendo wa heshima mbele ya watu wasiokuwa wa Kristo, wala hamutahitaji kusaidiwa na mutu yeyote.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ