Maana, Yawe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Unga unaokuwa ndani ya chungu chako hautapunguka wala mafuta yanayokuwa ndani ya chupa hayatakwisha, mpaka pale mimi Yawe nitakaponyesha mvua katika inchi.’ ”
Elisha akakasirika sana, akamwambia mufalme: “Mbona haukupiga mara tano au sita? Hivyo ungewaangamiza Waaramu kabisa. Lakini sasa utawashinda mara tatu tu.”