2 Wafalme 4:41 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
41 Elisha akaagiza aletewe unga. Akaletewa unga, naye akautia ndani ya chungu na kusema: “Sasa uwape chakula wakule.” Wakakikula, na hapo hakikuwazuru.
Elisha akaenda kwenye chemichemi ya maji, akatupa chumvi hiyo ndani na kusema: “Yawe anasema hivi: Nimeyafanya maji haya kuwa yenye kufaa. Tangu sasa hayatasababisha vifo au kutoa mimba.”
Halafu Musa akamulilia Yawe, naye akamwonyesha kipande cha muti, na Musa akakitumbukiza katika maji. Maji hayo yakakuwa mazuri. Kule Mungu aliwapa Waisraeli sharti na agizo, kusudi awapime,
Kwa maana mambo wanayomuhesabilia Mungu kuwa ya upumbafu, yanapita hekima ya watu; nayo mambo yale wanayomuhesabilia kuwa ya uzaifu yanapita nguvu za watu.