18 Mutoto yule alipokomaa, alitoka siku moja pamoja na baba yake akafuatana na wavunaji,
Lakini yule mwanamuke akapata mimba na kuzaa mutoto wakati kama ule mwaka uliofuata, kama vile Elisha alivyokuwa amemwambia.
naye akamwambia baba yake: “Ole, kichwa changu! Ninaumwa na kichwa!” Baba yake akamwambia mutumishi wake mumoja: “Umupeleke kwa mama yake.”
Elisha alikuwa amemwambia mwanamuke aliyeishi Sunemu ambaye alikuwa amemufufua mwana wake: “Ondoka na jamaa yako, uhamie katika inchi ya kigeni kwa sababu Yawe ameleta njaa itakayokuwa katika inchi kwa muda wa miaka saba.”
Nyuma ya muda, Boazi akafika kutoka Betelehemu, akawasalimia wavunaji, akasema: “Yawe akuwe nanyi.” Nao wakamujibu: “Yawe akubariki.”