Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 4:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Akamwambia mutumishi wake Gehazi: “Umwite yule mama Musunami.” Alipomwita akakuja na kusimama mbele yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 4:12
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akamwambia mutumishi wake: “Sasa, kwenda uangalie kwa upande wa bahari.” Mutumishi akaenda, akaangalia, kisha akarudia akasema: “Hakuna kitu.” Elia akamwambia: “Kwenda tena mara saba.”


Elia akakimbilia katika muji wa Beri-Seba katika jimbo la Yuda, kule alikomwacha mutumishi wake,


Mufalme Yosafati akauliza: “Hakuna nabii yeyote hapa wa Yawe ambaye tunaweza kumwuliza shauri la Yawe?” Mutumishi mumoja wa mufalme Yoramu wa Israeli akajibu: “Elisha mwana wa Safati iko hapa. Yeye alikuwa mutumishi wa Elia.”


Siku moja Elisha akafika kule na kuingia ndani ya chumba chake kusudi apumzike.


Naye Elisha akamwambia Gehazi: “Umwambie, tumeona jinsi alivyotushugulikia; sasa anataka tumutendee jambo gani? Angependa aombewe lolote kwa mufalme au kwa jemadari wa waaskari?” Mama Musunami akamujibu: “Mimi ninaishi kati ya watu wangu.”


Nao walipofika katika muji Salami, wakahubiri Neno la Mungu katika nyumba za kuabudia za Wayuda. Yoane alikuwa pamoja nao, akiwasaidia kwa kufanya kazi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ