Elia akamwambia: “Unipe mwana wako.” Basi, Elia akamutwaa mutoto toka kifua cha mama yake, akamupeleka juu katika chumba chake, akamulalisha juu ya kitanda chake.
na Yoana muke wa Kuza, huyo mume wake alikuwa musimamizi wa mali ya Herode, pamoja na Suzana na wengine wengi. Wanawake hawa walitumia mali yao kwa kuwasaidia Yesu na wanafunzi wake.