Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 3:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Akatuma ujumbe kwa mufalme Yosafati wa Yuda, akamwambia: “Mufalme wa Moabu ameniasi. Utashirikiana nami tupigane naye?” Mufalme Yosafati akamujibu: “Niko tayari! Mimi na wewe ni kitu kimoja; watu wangu ni kama wako, farasi wangu ni kama wako.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 3:7
12 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akamwuliza Yosafati: “Utaandamana nami kwa kupigana kule Ramoti-Gileadi?” Naye Yosafati akamujibu mufalme wa Israeli: “Ndiyo, mimi na wewe ni mutu mumoja, watu wangu ni watu wako, farasi wangu ni farasi wako.”


Elisha akakufa, naye akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia inchi ya watu wa Israeli.


Kwa hiyo mufalme Yoramu akaondoka Samaria, akakusanya waaskari wote wa Israeli.


Tutashambulia kutokea upande gani?” Yoramu akajibu: “Tutashambulia kutokea jangwa la Edomu.”


Basi, mufalme Yoramu akaondoka pamoja na mufalme wa Yuda na mufalme wa Edomu. Nyuma ya kusafiri kwa muda wa siku saba, maji yakawaishia. Hawakukuwa na maji kwa ajili ya waaskari wao wala kwa nyama wao.


Ahabu mufalme wa Israeli akamwambia Yosafati mufalme wa Yuda: “Utakwenda pamoja nami kwa kushambulia muji wa Ramoti-Gileadi?” Naye akajibu: “Mimi niko kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako. Tutakuwa pamoja nawe katika vita.”


Lakini nabii Yehu mwana wa Hanani, akakwenda kukutana na mufalme, akamwambia: “Unazani ni vema kuwasaidia waovu na kuwapenda wanaomuchukia Yawe? Mambo uliyofanya yamekuletea kasirani ya Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ