Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 3:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 Kwa hiyo mufalme Yoramu akaondoka Samaria, akakusanya waaskari wote wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 3:6
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Nao watu wa Israeli walikusanywa na kupewa silaha, wakaenda kupigana na Waaramu. Watu wa Israeli walipiga kambi, wakaonekana kama vikundi vidogovidogo vya mbuzi, lakini Waaramu walijaa katika inchi.


Saulo akaita waaskari wake, akawahesabu kule Telaimu. Kulikuwa waaskari wa miguu elfu mia mbili kutoka katika inchi ya Israeli na elfu kumi kutoka inchi ya Yuda.


Saulo alipowapanga Waisraeli kule Bezeki akakuwa na watu elfu mia tatu kutoka inchi ya Israeli na elfu makumi tatu kutoka inchi ya Yuda.


Lakini Ahabu alipokufa, mufalme wa Moabu alimwasi.


Akatuma ujumbe kwa mufalme Yosafati wa Yuda, akamwambia: “Mufalme wa Moabu ameniasi. Utashirikiana nami tupigane naye?” Mufalme Yosafati akamujibu: “Niko tayari! Mimi na wewe ni kitu kimoja; watu wangu ni kama wako, farasi wangu ni kama wako.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ