5 Lakini Ahabu alipokufa, mufalme wa Moabu alimwasi.
Kisha kufa kwa Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.
Elisha akakufa, naye akazikwa. Kila mwaka, makundi ya Wamoabu yalikuja kuishambulia inchi ya watu wa Israeli.
Kwa hiyo mufalme Yoramu akaondoka Samaria, akakusanya waaskari wote wa Israeli.
Wakati wa utawala wa Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakatawalisha mufalme wao.