Jambo hilo lilifanyika kwa sababu ya zambi alizotenda. Alitenda maovu mbele ya Yawe; alifuata mwenendo wa Yeroboamu na kuwasukuma watu wa Israeli watende zambi.
Naye alimutoa mwana wake kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Alipiga ramuli; aliaguza akishirikiana na waaguzi wanaosemezana na mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Yawe, akamukasirikisha.