Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 3:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Yoramu alitenda maovu mbele ya Yawe, lakini yeye hakukuwa mubaya kama baba na mama yake; maana alibomoa munara wa Bali uliofanywa na baba yake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 3:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Jambo hilo lilifanyika kwa sababu ya zambi alizotenda. Alitenda maovu mbele ya Yawe; alifuata mwenendo wa Yeroboamu na kuwasukuma watu wa Israeli watende zambi.


Basi, Ahabu alipomwona Elia, akasema: “Ewe adui yangu, umeninasa tena?” Elia akamujibu: “Ndiyo! Nimekunasa, kwa sababu wewe umekusudia kabisa kutenda maovu mbele ya Yawe.


Hakuna mutu aliyekusudia kutenda maovu mbele ya Yawe kama Ahabu, ambaye alishawishiwa na Yezebeli, muke wake.


Yehu akawakusanya watu wa Samaria na kuwaambia: “Mufalme Ahabu alimutumikia Bali kidogo tu, lakini mimi nitamutumikia zaidi.


Alitenda maovu mbele ya Yawe, kama vile Manase baba yake alivyofanya.


Naye alimutoa mwana wake kama sadaka ya kuteketezwa kwa moto. Alipiga ramuli; aliaguza akishirikiana na waaguzi wanaosemezana na mizimu na wachawi. Alitenda maovu mengi mbele ya Yawe, akamukasirikisha.


Wakati Yoramu alipomwona Yehu, alimwuliza: “Yehu, unakuja kwa amani?” Yehu akamujibu: “Amani gani, wakati makahaba na wachawi wa Yezebeli ni wengi?”


na kuingia katika nyumba ya kifalme, na huko akakula na kunywa. Halafu akaamuru: “Muzike mwanamuke yule aliyelaaniwa kwa sababu ni binti ya mufalme.”


Musiiname mbele ya miungu yao kuiabudu, wala kuitumikia, wala musiige mambo yao. Lakini mutawaangamiza kabisa na kuvunjavunja nguzo zao.


Kwa nini basi, haukuitii sauti ya Yawe? Kwa nini mukakimbilia vitu kwa kuvinyanganya na hivyo kutenda jambo ovu mbele ya Yawe?”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ