Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 3:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika mwaka wa kumi na nane wa utawala wa mufalme Yosafati wa Yuda, Yoramu mwana wa Ahabu alianza kutawala inchi ya Israeli. Akatawala akiwa Samaria kwa muda wa miaka kumi na miwili.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 3:1
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa mwisho, Yosafati akakufa, akazikwa pamoja na babu zake katika makaburi ya kifalme katika muji wa Daudi babu yake. Naye Yoramu mwana wake akatawala kwa pahali pake.


Kisha Ahazia akakufa kama vile Yawe alivyomwambia nabii wake Elia. Na kwa sababu Ahazia hakukuwa na mutoto mwanaume, Yoramu akakuwa mufalme kwa pahali pake, katika mwaka wa pili wa utawala wa Yehoramu mwana wa Yosafati, mufalme wa Yuda.


Basi, mufalme Yoramu akaondoka pamoja na mufalme wa Yuda na mufalme wa Edomu. Nyuma ya kusafiri kwa muda wa siku saba, maji yakawaishia. Hawakukuwa na maji kwa ajili ya waaskari wao wala kwa nyama wao.


Katika mwaka wa tano wa utawala wa Yoramu mwana wa Ahabu, mufalme wa Israeli, Yehoramu mwana wa Yosafati, mufalme wa Yuda, alianza kutawala.


Hata akafuata shauri lao, akaenda pamoja na mufalme Yoramu mwana wa Ahabu mufalme wa Israeli kupigana vita na Hazaeli mufalme wa Suria kule Ramoti-Gileadi. Nao Wasuria wakamwumiza Yoramu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ