9 Alitenda maovu mbele ya Yawe kama vile baba yake alivyofanya.
Alitenda maovu mbele ya Yawe kwa kutenda maovu ya mataifa ambayo yalifukuzwa na Yawe mbele ya watu wa Israeli.
Alitenda maovu mbele ya Yawe, kama vile Manase baba yake alivyofanya.
Alifuata njia yote baba yake aliyoiendea na kutumikia sanamu ambazo baba yake alizitumikia na kuziabudu.
Wakati ule waaskari wa Nebukadneza mufalme wa Babeli wakashambulia Yerusalema na kuuzunguka.
Huyo alipokuwa amekwisha kukomaa, akaanza kutembea pamoja na simba wengine. Naye vilevile akajifunza kuwinda, akakuwa simba mukula watu.