Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 24:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Yoyakini alikuwa na umri wa miaka kumi na minane alipoanza kutawala. Alitawala akiwa Yerusalema kwa muda wa miezi mitatu. Mama yake aliitwa Nehusta, binti ya Elnatani, mukaaji wa Yerusalema.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 24:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yoyakini alikuwa na umri wa miaka minane alipoanza kutawala, alitawala kule Yerusalema kwa muda wa miezi mitatu na siku kumi. Alitenda maovu mbele ya Yawe.


Yawe anasema hivi: Kama vile ninavyoishi, hata kama wewe Konia mwana wa Yoyakimu, mufalme wa Yuda, ungekuwa wa lazima kwangu kama vile pete yangu ya muhuri ninayovaa kwa mukono wangu wa kuume, ningekuvua.


Nitakupeleka mbali katika inchi ya kigeni, wewe pamoja na mama yako muzazi. Mutakuwa watumwa katika inchi hiyo ambamo ninyi wote wawili hamukuzaliwa, nanyi mutakufia kulekule.


Mbona huyu mutu Konia, amekuwa kama chungu kilichovunjika, ambacho kinazarauliwa na kutupwa inje? Kwa nini yeye na watoto wake wamefukuzwa, wametupwa katika inchi wasiyoijua?


Ilikuwa nyuma ya Nebukadneza mufalme wa Babeli kuwahamisha Yekonia mufalme wa Yuda mwana wa Yoyakimu, pamoja na wakubwa wa inchi ya Yuda na wafundi bora na wafuaji wa vyuma kutoka Yerusalema na kuwapeleka Babeli. Yawe akanionyesha vikapu viwili vya matunda ya tini vimewekwa mbele ya hekalu la Yawe.


Mufalme Nebukadneza wa Babeli alimusimika Zedekia mwana wa Yosia kuwa mufalme wa Yuda pahali pa Konia mwana wa Yoyakimu.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ