Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 22:5 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

5 nazo zitolewe kwa wale wanaosimamia kazi ya kutengeneza vizuri nyumba ya Yawe kusudi wapate kuwalipa wafundi wanaofanya kazi ya kutengeneza mabomoko,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 22:5
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yoasi akaita makuhani na kuwaamuru, akisema: “Kila kuhani apokee feza yote inayotolewa katika nyumba ya Yawe: ni kusema malipo ya kodi za hekalu na matoleo ya mapenzi. Azipokee kutoka kwa yeyote anayemufahamu kwa kutengeneza nyumba popote panapohitajika.”


waseremala, wajengaji na watumishi wengine wenye kujenga, na kununua mbao na mawe yaliyochongwa kwa ajili ya kutengeneza nyumba.


Habari za wana wake, za kujenga upya nyumba ya Yawe, na unabii wote juu yake, zimeandikwa katika maelezo ya kitabu cha Wafalme. Amazia mwana wake akatawala pahali pake.


Kwa sababu wana wa Atalia, yule mwanamuke mwovu walivunja nyumba ya Mungu na kuingia ndani; vilevile vyombo vitakatifu vya nyumba ya Yawe walivitumia katika ibada za Mabali.


Zikawekwa katika mikono ya wale wafundi waliosimamia kazi ya kutengeneza nyumba ya Yawe; na wafundi waliofanya kazi katika nyumba ya Yawe wakazitoa kwa kutengeneza na kufanya upya nyumba.


Watu walitoa feza za kuwalipa waseremala na wajengaji, walitoa vilevile chakula, vinywaji na mafuta, kusudi vipelekwe katika miji ya Tiro na Sidona kubadilishwa na miti ya mierezi kutoka Lebanoni. Miti hiyo ililetwa kwa njia ya bahari mpaka Yopa. Haya yote yalifanyika kwa musaada wa mufalme Kiro wa Persia.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ