Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 22:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Akaamuru kuhani Hilkia, Ahikamu mwana wa Safanu na Akibori mwana wa Mikaya pamoja na mwandishi Safanu na Asaya mutumishi wa mufalme, akisema:

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 22:12
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kwa hiyo kuhani Hilkia, Ahikamu, Akibori, Safanu na Asahiya, wote walikwenda kuomba shauri kwa mwanamuke mumoja nabii jina lake Hulda aliyekuwa muke wa Salumu mwana wa Tikwa, mujukuu wa Harihasi, mutunza nguo za hekalu. Wakati ule, Hulda alikuwa anaishi katika mutaa wa pili wa Yerusalema, nao wakazungumuza naye.


Mwandishi Safanu akamwendea mufalme na kutoa habari, akisema: “Watumishi wako wametoa feza zilizopatikana katika nyumba, halafu wakazipeleka kwa wafundi wanaosimamia kazi ya kutengeneza nyumba ya Yawe.”


Mufalme Nebukadneza wa Babeli akamuchagua Gedalia mwana wa Ahikamu, mujukuu wa Safanu, kuwa mutawala wa watu wote wa Yuda ambao hawakupelekwa Babeli.


Mufalme Yoyakimu akamutuma Elnatani mwana wa Akibori, pamoja na watu wengine kwenda Misri.


Lakini Yeremia alikuwa akilindwa na Ahikamu mwana wa Safamu kusudi asitiwe katika mikono ya watu na kuuawa.


Wakamutoa Yeremia kwa Gedalia mwana wa Ahikamu, mujukuu wa Safanu, amupeleke katika nyumba yake. Basi, Yeremia akaishi pamoja na wanainchi wengine.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ