2 Wafalme 2:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20026 Kisha Elia akamwambia Elisha: “Tafazali ubakie hapa. Yawe amenituma niende Yordani.” Lakini Elisha akasema: “Kama vile Yawe anavyoishi na kama vile unavyoishi, sitakuacha.” Basi, wakaenda pamoja. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |