2 Wafalme 2:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Walipokuwa katika njia, Elia akamwambia Elisha: “Tafazali ubakie hapa. Yawe amenituma niende Beteli.” Lakini Elisha akamwambia: “Kama vile Yawe anavyoishi na kama vile unavyoishi, sitakuacha.” Basi, wakaenda pamoja mpaka Beteli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |