Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 17:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika mwaka wa kumi na mbili wa utawala wa mufalme Ahazi wa Yuda, Hoshea mwana wa Ela akaanza kutawala Israeli, na utawala wake uliendelea ukiwa kule Samaria kwa miaka tisa.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 17:1
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Katika mwaka wa makumi mbili wa utawala wa Yotamu mwana wa Uzia mufalme wa Yuda, Hoshea mwana wa Ela alimwasi Peka mwana wa Remalia na kumwua, kisha akatawala kwa pahali pake.


Katika mwaka wa kumi na saba wa utawala wa Peka mwana wa Remalia, mufalme wa Israeli, Ahazi mwana wa Yotamu, mufalme wa Yuda, akaanza kutawala.


Alitenda maovu mbele ya Yawe ingawa siyo kama wafalme wa Israeli waliomutangulia.


Katika mwaka wa tatu wa utawala ya Hoshea mwana wa Ela, mufalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazia, mufalme wa Yuda, alianza kutawala.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ