2 Wafalme 16:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Ahazi alitambikia sadaka na kufukiza ubani kwenye nafasi yenye kuinuka, juu ya vilima na chini ya kila muti wenye majani mengi. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Wakati maiti zao zitakapokuwa zimelala kati ya sanamu zao za miungu, na kwenye mazabahu zao juu ya kila mulima, chini ya kila muti wenye kivuli, chini ya kila muti wa mwalo wenye majani na popote walipotolea sadaka zenye harufu nzuri ya kuzipendeza sanamu zao za miungu. Nanyi mutatambua kwamba mimi ni Yawe.