Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 16:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Alikuwa na umri wa miaka makumi mbili alipoanza kutawala. Akatawala kwa muda wa miaka kumi na sita akiwa kule Yerusalema. Hakutenda kwa usawa mbele ya Yawe kama vile Daudi babu yake alivyofanya,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 16:2
14 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Abiyamu alitenda zambi zilezile baba yake alizotenda, wala hakukuwa na moyo mwaminifu kwa Yawe, Mungu wake, kama babu yake Daudi alivyokuwa.


Tena kama ukifuata njia yangu na kushika masharti na amri zangu kama vile baba yako Daudi alivyofanya, basi, nitakupa maisha marefu.”


Nawe kama ukinitumikia kwa ukamilifu wa moyo na usawa kama baba yako Daudi alivyofanya, ukitii amri zangu na kutimiza yale yote niliyokuamuru, ukifuata masharti yangu na maagizo yangu,


Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe, lakini hakukuwa kama babu yake Daudi. Akafanya mambo yote kama vile baba yake Yoasi.


Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe kama vile baba yake Amazia alivyotenda.


Yotamu alitenda kwa usawa mbele ya Yawe kama vile baba yake Uzia alivyotenda.


Katika mwaka wa tatu wa utawala ya Hoshea mwana wa Ela, mufalme wa Israeli, Hezekia mwana wa Ahazia, mufalme wa Yuda, alianza kutawala.


Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe, kama vile Daudi babu yake alivyotenda.


Yosia alitenda kwa usawa mbele ya Yawe. Alifuata mienendo yote ya babu yake Daudi; hakuiacha hata kidogo.


Yawe alikuwa pamoja na Yosafati kwa sababu alifuata njia za kwanza za babu yake Daudi, wala hakumwabudu mungu Bali.


Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe, kama vile babu yake Daudi alivyotenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ