Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 15:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe kama vile baba yake Amazia alivyotenda.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 15:3
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mufalme Asa alitenda mambo yanayokuwa mema mbele ya Yawe kama vile Daudi babu yake alivyofanya.


Alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala. Alitawala kwa muda wa miaka makumi tano na miwili akiwa kule Yerusalema. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalema.


Yotamu alitenda kwa usawa mbele ya Yawe kama vile baba yake Uzia alivyotenda.


Hata hivyo, nafasi za kutambikia kwenye milima hazikuharibiwa, na watu waliendelea kutambika na kufukiza ubani pale.


Uzia alianza kutawala akiwa na umri wa miaka kumi na sita; akatawala kwa muda wa miaka makumi tano na miwili kule Yerusalema. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalema.


Alitenda kwa usawa mbele ya Yawe, kama vile baba yake alivyotenda.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ