Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 13:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

9 Yoahazi akakufa na kuzikwa kule Samaria, naye mwana wake Yoasi akakuwa mufalme kwa pahali pake.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 13:9
6 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Watu wote wa Israeli watafanya kilio na kumuzika. Lakini, ni huyo tu wa jamaa ya Yeroboamu atakayezikwa, maana ni yeye tu wa jamaa ya Yeroboamu aliyepata kupendezwa na Yawe, Mungu wa Israeli.


Akakufa na kuzikwa Samaria. Mwana wake Yoahazi akatawala kwa pahali pake.


Katika mwaka wa makumi tatu na saba wa utawala wa mufalme Yoasi wa Yuda, Yoasi mwana wa Yoahazi alianza kutawala Israeli akiwa kule Samaria, na akatawala kwa muda wa miaka kumi na sita.


Yoasi akakufa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme kule Samaria, naye mwana wake Yeroboamu akatawala kwa pahali pake.


Mambo mengine ya Yoahazi, yote aliyofanya na ushujaa wake yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yoasi mwana wa Yoahazi, mujukuu wa Yehu, mufalme wa Israeli akisema: “Ukuje tupigane.”


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ