Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 13:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Mambo mengine ya Yoahazi, yote aliyofanya na ushujaa wake yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 13:8
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Maana, alipokuwa muzee, wake zake walimupotosha hata akaitumikia miungu mingine, wala hakukuwa mwaminifu kabisa kwa Yawe, Mungu wake, kama baba yake Daudi alivyokuwa mwaminifu.


Mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda.


Nyuma, Rehoboamu alikufa na kuzikwa kwenye makaburi ya wazee wake, katika muji wa Daudi. Mama yake aliitwa Nama kutoka katika kabila la Waamoni, na mwana wake Abiyamu akatawala kwa pahali pake.


Mambo mengine mufalme Ahazi aliyoyatenda yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


Yoahazi hakukuwa na waaskari, lakini alikuwa tu na wapanda-farasi makumi tano, magari kumi na waaskari wa miguu elfu kumi. Hii ilikuwa ni kwa sababu mufalme wa Aramu alikuwa ameyaangamiza makundi ya waaskari ya Israeli na kuyakanyaga chini kama mavumbi.


Yoahazi akakufa na kuzikwa kule Samaria, naye mwana wake Yoasi akakuwa mufalme kwa pahali pake.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ