2 Wafalme 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200212 Mambo mengine ya Yoasi, yote aliyofanya na ushujaa wake katika vita alivyopigana na mufalme Amazia wa Yuda, yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |