Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 13:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Mambo mengine ya Yoasi, yote aliyofanya na ushujaa wake katika vita alivyopigana na mufalme Amazia wa Yuda, yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 13:12
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Matendo mengine ya mufalme Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na alivyotawala, yote yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


Mambo mengine mufalme Ahazi aliyoyatenda yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


Yoasi vilevile alitenda maovu mbele ya Yawe. Hakuacha zambi zile za Yeroboamu mwana wa Nebati ambaye aliwasukuma watu wa Israeli watende zambi. Aliendelea kuzitenda.


Yoasi akakufa na kuzikwa katika makaburi ya kifalme kule Samaria, naye mwana wake Yeroboamu akatawala kwa pahali pake.


Aliikomboa inchi yote iliyokuwa mali ya Israeli, kutokea Pito la Hamati mpaka bahari ya Chumvi. Hivi ndivyo Yawe alivyoahidi kwa njia ya mutumishi wake Yona mwana wa Amitai, nabii kutoka Gati-Heferi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ