Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 13:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Katika mwaka wa makumi mbili na tatu wa utawala wa mufalme Yoasi wa Yuda, Yoahazi mwana wa Yehu alianza kutawala Israeli, akaendelea kutawala akiwa kule Samaria kwa muda wa miaka kumi na saba.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 13:1
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Yawe akamwambia Yehu: “Umewatendea wazao wa Ahabu yale yote niliyotaka uwatendee. Kwa hiyo nimekuahidi kwamba wazao wako mpaka kizazi cha ine watatawala Israeli.”


Lakini katika mwaka wa saba Yehoyada alituma ujumbe na kuwakusanya wakubwa wa waaskari na walinzi. Akaamuru wamufikie katika nyumba ya Yawe, naye akafanya nao mapatano na kuwaapisha humo katika nyumba ya Yawe. Halafu akawaonyesha Yoasi mwana wa mufalme Ahazia.


Yoasi alianza kutawala inchi ya Yuda akiwa na umri wa miaka saba.


Wakubwa wa serikali yake wakamwasi, wakamwuia katika uwanja wa Milo kwenye barabara inayoelekea Sila.


Katika mwaka wa makumi tatu na saba wa utawala wa mufalme Yoasi wa Yuda, Yoasi mwana wa Yoahazi alianza kutawala Israeli akiwa kule Samaria, na akatawala kwa muda wa miaka kumi na sita.


Alitenda maovu mbele ya Yawe. Alitenda zambi sawa na Yeroboamu mwana wa Nebati ambaye aliwasukuma watu wa Israeli watende zambi. Hakuacha kutenda zambi hii.


Basi tukio hilo lilitokana na ahadi ya Yawe kwa mufalme Yehu, kusema: “Wazao wako watatawala Israeli mpaka kizazi cha ine.”


Ahazia alianza kutawala akiwa na umri wa miaka makumi mbili na mbili, akatawala akiwa Yerusalema kwa muda wa mwaka mumoja. Mama yake aliitwa Atalia, mujukuu wa mufalme Omuri mufalme wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ