2 Wafalme 11:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002
8 Mutamuzunguka mufalme, kila mutu na silaha yake katika mukono na mutu yeyote atakayesubutu kuwakaribia mumwue. Mukae na mufalme, ikiwa anatoka au anaikaa.”
Kisha kuhani Yehoyada akaamuru wakubwa wa waaskari akisema: “Mumwondoshe inje katikati ya waaskari, na muue mutu yeyote atakayemufuata.” Kwa sababu kuhani alisema: “Asiuawe katika nyumba ya Yawe.”
Walawi watamuzunguka mufalme, kila mutu na silaha yake katika mukono; na mutu yeyote atakayejaribu kuingia katika nyumba ya Yawe, atauawa. Mukae na mufalme anapoingia ndani na anapotoka inje.”
Lakini mutu akimushambulia mwenzake kwa makusudi na kumwua kwa werevu, hata kama akikimbilia kwenye mazabahu, mutamutoa kule kwenye mazabahu yangu na kumwua.