Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 11:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Yale makundi mawili ambayo yanamaliza zamu yao siku ya Sabato yatashika zamu katika nyumba ya Yawe kwa kumulinda mufalme.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 11:7
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha akatoa amri: “Mutafanya hivi: mutakapokuja kushika zamu siku ya Sabato, sehemu moja ya tatu italinda nyumba ya kifalme,


sehemu ingine moja ya tatu itakuwa kwenye mulango wa Suri na sehemu ingine itakuwa kwenye mulango nyuma ya walinzi. Hivi ndivyo mutakavyolinda nyumba ya kifalme kusudi isivunjwe.


Mutamuzunguka mufalme, kila mutu na silaha yake katika mukono na mutu yeyote atakayesubutu kuwakaribia mumwue. Mukae na mufalme, ikiwa anatoka au anaikaa.”


Walinzi hawa walisaidiwa na wandugu zao waliokuwa wakiishi katika vijiji, ambao walilazimishwa kushika zamu ya ulinzi kwa muda wa siku saba, mara kwa mara,


Asikubaliwe mutu mwingine yeyote kuingia ndani ya nyumba ya Yawe isipokuwa makuhani tu pekee na wale Walawi watakaokuwa wanatumika. Hao wanaweza kuingia kwa sababu wao ni watakatifu, lakini wale watu wengine wote, watatii amri ya Yawe.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ