Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 11:6 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

6 sehemu ingine moja ya tatu itakuwa kwenye mulango wa Suri na sehemu ingine itakuwa kwenye mulango nyuma ya walinzi. Hivi ndivyo mutakavyolinda nyumba ya kifalme kusudi isivunjwe.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 11:6
5 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Aliwakamata wakubwa wa waaskari, waaskari walinzi na watu wote, nao wakamusindikiza mufalme kutoka nyumba ya Yawe, wakapitia katika mulango wa walinzi mpaka kwenye nyumba ya kifalme. Naye mufalme akakiikalia kiti cha kifalme.


Kisha akatoa amri: “Mutafanya hivi: mutakapokuja kushika zamu siku ya Sabato, sehemu moja ya tatu italinda nyumba ya kifalme,


Yale makundi mawili ambayo yanamaliza zamu yao siku ya Sabato yatashika zamu katika nyumba ya Yawe kwa kumulinda mufalme.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ