tena alipoona chakula kilicholetwa kwa meza yake, jinsi wakubwa wake walivyoikaa kwenye meza, jinsi watumishi walivyotumika na walivyovaa, vilevile wenye kuleta vinywaji na sadaka za kuteketezwa ambazo alizitoa katika nyumba ya Yawe, alipumbazika na kushangaa sana.
Aliwakamata wakubwa wa waaskari, waaskari walinzi na watu wote, nao wakamusindikiza mufalme kutoka nyumba ya Yawe, wakapitia katika mulango wa walinzi mpaka kwenye nyumba ya kifalme. Naye mufalme akakiikalia kiti cha kifalme.
sehemu ingine moja ya tatu itakuwa kwenye mulango wa Suri na sehemu ingine itakuwa kwenye mulango nyuma ya walinzi. Hivi ndivyo mutakavyolinda nyumba ya kifalme kusudi isivunjwe.
Nalo baraza la Sabato lililokuwa limejengwa ndani ya nyumba pamoja na mulango wa inje, mufalme alivihamisha kutoka katika nyumba ya Yawe kwa ajili ya mufalme wa Aramu.
Kwa hiyo, ilikuwa ni kazi yao kutunza hema la kusanyiko na Pahali Patakatifu, na kuwasaidia wandugu zao makuhani, wazao wa Haruni, kwenye ibada katika nyumba ya Yawe.
Walinzi hawa walisaidiwa na wandugu zao waliokuwa wakiishi katika vijiji, ambao walilazimishwa kushika zamu ya ulinzi kwa muda wa siku saba, mara kwa mara,
Basi, wakubwa wa Yuda waliposikia mambo hayo, wakapanda kutoka kwa nyumba ya mufalme, wakaenda kwenye nyumba ya Yawe, wakaikaa kwenye mulango ulioitwa: “Mulango Mupya”.