Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Lakini Yoseba binti ya mufalme Yoramu, dada ya Ahazia, alimutwaa kwa siri Yoasi mwana wa Ahazia, kutoka kati ya wana wa mufalme waliokuwa karibu kuuawa. Alimuficha yeye pamoja na mulezi wake katika chumba cha kulala. Hivyo walimuficha kusudi Atalia asimwone na kumwua.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 11:2
24 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Lakini Hadadi ambaye wakati ule alikuwa kijana alitorokea Misri pamoja na Waedomu wamoja, watumishi wa baba yake.


Kuuzunguka ukuta wa inje wa nyumba hiyo, alijenga vyumba kila gorofi ikiwa na urefu wa kwenda juu metre mbili na sentimetre makumi mbili na tano; navyo vilikuwa vimeunganishwa na nyumba kwa boriti za mierezi.


Mulango wa kuingilia sehemu ya chini ya jengo lililoongezwa kwenye ubavu wa nyumba, ulikuwa upande wa kusini. Ndani, mulikuwa ngazi ambayo watu waliweza kupandia kwa kwenda kwenye gorofi ya katikati na ya mwisho.


Yoasi alikaa naye kwa muda wa miaka sita akiwa amefichwa ndani ya nyumba ya Yawe, wakati Atalia alipokuwa akitawala katika inchi.


Yoasi alianza kutawala inchi ya Yuda akiwa na umri wa miaka saba.


Katika mwaka wa tano wa utawala wa Yoramu mwana wa Ahabu, mufalme wa Israeli, Yehoramu mwana wa Yosafati, mufalme wa Yuda, alianza kutawala.


Lakini Yawe hakutaka kuangamiza Yuda, kwa sababu ya Daudi mutumishi wake, maana aliahidi kwamba wazao wake wataendelea kutawala milele.


Lakini Yoseba, binti ya mufalme Yoramu alimutwaa Yoasi, akamuchukua kwa siri kutoka kati ya wana wa mufalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamuficha yeye pamoja na yaya wake, katika chumba cha kulala. Hivyo Yoseba, binti ya mufalme Yoramu, muke wa kuhani Yoyada, kwa sababu alikuwa dada ya Ahazia, akamuficha Yoasi kusudi Atalia asimwone na kumwua.


Lakini wachawi wa Misri kwa uchawi wao vilevile wakaleta vyura katika inchi ya Misri.


Hakuna hekima, ufahamu, wala shauri yoyote ya mutu, itakayoweza kupingana na Yawe.


Maana Yawe anasema hivi: Hakutakosekana hata kidogo mutu wa uzao wa Daudi atakayetawala Waisraeli.


ndivyo itakuwa kwa agano nililofanya na mutumishi wangu Daudi. Nilifanya agano na Daudi kwamba atakuwa na mumoja wa uzao wake wa kutawala pahali pake siku zote; vilevile kutakuwa makuhani wa ukoo wa Lawi watakaonitumikia siku zote.


Basi, ndivyo inavyokuwa vilevile: sitawatupa wazao wa Yakobo na Daudi, mutumishi wangu; nitamuchagua mumoja kati ya wazao wake atawale wazao wa Abrahamu, Isaka na Yakobo. Kwa maana nitawarudishia tena hali yao na kuwahurumia.


Kwenda kwa wazao wa Rekabu, useme nao. Kisha, uwalete katika chumba kimoja ndani ya nyumba yangu mimi Yawe, uwape divai wakunywe.


Mufalme alimwamuru mwana wake Yerameli, Seraya mwana wa Azirieli na Selemia mwana wa Abudieli, wamukamate katibu Baruku na nabii Yeremia. Lakini Yawe aliwaficha.


Yule mutu akaniambia hivi: Chumba hiki kinachoelekea upande wa kusini ni kwa ajili ya makuhani wanaotumika katika nyumba ya Yawe,


Akafuatana nao kwenda Ofura kwa baba yake naye akawaua wandugu zake wote makumi saba juu ya jiwe moja. Lakini Yotamu, mwana mudogo wa Yerubali aliponyoka kufa, maana alijificha.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ