2 Wafalme 11:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Lakini Yoseba binti ya mufalme Yoramu, dada ya Ahazia, alimutwaa kwa siri Yoasi mwana wa Ahazia, kutoka kati ya wana wa mufalme waliokuwa karibu kuuawa. Alimuficha yeye pamoja na mulezi wake katika chumba cha kulala. Hivyo walimuficha kusudi Atalia asimwone na kumwua. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Lakini Yoseba, binti ya mufalme Yoramu alimutwaa Yoasi, akamuchukua kwa siri kutoka kati ya wana wa mufalme waliokuwa karibu kuuawa. Akamuficha yeye pamoja na yaya wake, katika chumba cha kulala. Hivyo Yoseba, binti ya mufalme Yoramu, muke wa kuhani Yoyada, kwa sababu alikuwa dada ya Ahazia, akamuficha Yoasi kusudi Atalia asimwone na kumwua.