2 Wafalme 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20024 Watawala wa Samaria waliogopa sana na kusema: “Tunaweza namna gani kumupiga Yehu wakati mufalme Yoramu na mufalme Ahazia hawakuweza?” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |
Kama vile simba anavyochomoka kutoka ndani ya vichaka vya muto Yordani na kuingia kwenye mbuga, ndivyo nitakavyowafukuza kwa rafla Waedomu toka katika inchi yao. Nami nitamuweka huko mutawala yeyote nitakayemuchagua. Maana, ni nani anayeweza kulinganishwa nami? Nani anayeweza kunishitaki? Ni muchungaji gani anayeweza kunipinga?