Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 10:4 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

4 Watawala wa Samaria waliogopa sana na kusema: “Tunaweza namna gani kumupiga Yehu wakati mufalme Yoramu na mufalme Ahazia hawakuweza?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 10:4
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

muchague na kumuweka mwenye uwezo zaidi kati ya wana wa mufalme kuwa mufalme. Halafu mupigane vita kwa ajili ya ukoo wa mufalme.”


Yehu akatwaa upinde wake na kutupa mushale ambao ulipenya mabega ya Yoramu na kuchoma moyo wake, naye akakufa palepale ndani ya gari lake.


Ahazia mufalme wa Yuda alipoona yaliyotukia alikimbia akielekea Nyumba ya Bustani, naye akifuatwa na Yehu. Yehu akawaamuru watu wake: “Mumwue naye vilevile!” Nao wakamupiga mushale akiwa ndani ya gari kwenye njia ya kupandia Guri karibu na muji wa Ibuleamu. Halafu alikimbilia Megido na kufia kule.


Kila mumoja umeshikamana na mwingine, hata hewa haiwezi kupenya katikati yake.


Silikasirikii tena shamba hili; kama miiba na michongoma ingelilishambulia, mimi ningepambana nayo na kuichoma kwa moto.


Kama vile simba anavyochomoka kutoka ndani ya vichaka vya muto Yordani na kuingia kwenye mbuga, ndivyo nitakavyowafukuza kwa rafla Waedomu toka katika inchi yao. Nami nitamuweka huko mutawala yeyote nitakayemuchagua. Maana, ni nani anayeweza kulinganishwa nami? Nani anayeweza kunishitaki? Ni muchungaji gani anayeweza kunipinga?


Nani anayeweza kusimama mbele ya kasirani ya Yawe? Nani anayeweza kuvumilia ukali wa hasira yake? Yeye anaimwanga hasira yake inayowaka kama moto, hata mawe makubwa anayapasua vipandevipande.


Au ni mufalme gani anayetaka kwenda kupigana vita na mufalme mwingine, atakayekosa kwanza kuikaa na kujiuliza kama kwa nguvu za waaskari wake elfu kumi ataweza kumushinda adui yake anayekuja na waaskari elfu makumi mbili?


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ