Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 10:34 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

34 Mambo mengine ya Yehu, yote aliyofanya na ushujaa wake yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 10:34
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Mambo mengine ya Solomono, yote aliyofanya na hekima yake yameandikwa katika Kitabu cha Matendo ya Solomono.


Matendo mengine ya mufalme Yeroboamu, jinsi alivyopigana vita na alivyotawala, yote yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


Mambo mengine ya Rehoboamu na yote aliyofanya yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Yuda.


Mambo mengine mufalme Ahazi aliyoyatenda yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


katika upande wa mashariki ya muto Yordani, na inchi za Gileadi, Gadi, Rubeni na Manase na kutoka muji wa Aroeri unaokuwa kwenye bonde la Arnoni, kwenye inchi za Gileadi na Basani.


Akakufa na kuzikwa Samaria. Mwana wake Yoahazi akatawala kwa pahali pake.


Yoasi mufalme wa Yuda alitwaa sadaka zote zilizotakaswa na babu zake wafalme wa Yuda: Yosafati, Yehoramu na Ahazia, na kuongeza zile zake, pamoja na zahabu yote iliyokuwa katika hazina ya nyumba ya Yawe na katika nyumba ya kifalme, akazituma kwa Hazaeli mufalme wa Aramu. Naye Hazaeli akatoka Yerusalema.


Mambo mengine ya Yoahazi, yote aliyofanya na ushujaa wake yameandikwa katika Kitabu cha Mambo ya Siku za Wafalme wa Israeli.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ