Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 10:3 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

3 muchague na kumuweka mwenye uwezo zaidi kati ya wana wa mufalme kuwa mufalme. Halafu mupigane vita kwa ajili ya ukoo wa mufalme.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 10:3
10 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

“Kwa sababu kati yenu kuna wana wa mufalme, vilevile kuna farasi na magari, silaha na miji yenye kuta,


Watawala wa Samaria waliogopa sana na kusema: “Tunaweza namna gani kumupiga Yehu wakati mufalme Yoramu na mufalme Ahazia hawakuweza?”


Yesu akajibu: “Ufalme wangu si wa dunia hii. Ufalme wangu ungekuwa wa dunia hii, watumishi wangu wangenipigania kusudi nisitolewe kwa Wayuda. Lakini sasa ufalme wangu si wa hapa katika dunia.”


Samweli akawaambia watu wote: “Huyu ndiye mutu aliyechaguliwa na Yawe kati ya watu wote; hakuna yeyote anayekuwa kama yeye.” Watu wote wakapiga kelele: “Mufalme aishi milele.”


Watu wote wakaenda Gilgali, na walipofika kule, wakamusimika Saulo kuwa mufalme mbele ya Yawe. Wakamutolea Yawe sadaka za amani pale. Na Saulo pamoja na watu wote wa Israeli wakafurahi sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ