Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 10:12 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

12 Kisha Yehu aliondoka Yezereheli, akaelekea Samaria. Akiwa katika njia pahali panapoitwa “Kambi ya Wachungaji”,

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 10:12
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Halafu Yehu akaua jamaa yote ya Ahabu iliyokuwa inakaa Yezereheli, pamoja na wakubwa wake na warafiki na makuhani wake. Hakumwacha hata mutu yeyote.


alikutana na watu wa jamaa ya marehemu Ahazia mufalme wa Yuda akawauliza: “Ninyi ni wa nani?” Wakamujibu: “Sisi ni watu wa jamaa ya Ahazia. Tumeteremuka huku kuwatembelea wana wa mufalme na wana wa malkia.”


Kisha akaamuru: “Muwakamate wakiwa wazima.” Wakawakamata watu makumi ine na wawili wakawaua karibu na kisima cha “Kambi ya Wachungaji”. Hakuna aliyebaki hata mumoja.


Wakati Yehu alipokuwa akiwahukumu watu wa jamaa ya Ahabu alikutana na wakubwa wa Yuda pamoja na wana wa wandugu za Ahazia, waliomutumikia Ahazia, akawaua.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ