2 Wafalme 10:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20021 Katika muji wa Samaria kulikuwa wana makumi saba wa Ahabu. Yehu akaandika barua na kutuma barua kwa watawala wa muji, kwa viongozi na kwa walinzi wa wana wa Ahabu. Barua yenyewe ilisema hivi: အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |