2 Wafalme 1:9 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20029 Halafu akamutuma kiongozi mumoja wa waaskari na watu wake makumi tano wamulete Elia. Kiongozi huyo akaenda, akamukuta Elia akiikaa kwenye mulima, akamwambia: “Ewe mutu wa Mungu, mufalme anakuamuru ushuke.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |