Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 1:7 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

7 Mufalme akauliza: “Ni mutu gani yule aliyekutana nanyi na kuwaambia mambo hayo?”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 1:7
4 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Wakamujibu: “Tumekutana na mutu ambaye alitutuma turudi kukuambia kwamba Yawe amesema hivi: ‘Kwa nini unatuma wajumbe kwa Bali-Zebubu, mungu wa Ekuroni? Hakuna Mungu katika inchi ya Israeli? Hautashuka katika kitanda ulichopanda juu yake. Hakika utakufa.’ ”


Wao wakamujibu: “Alikuwa akivaa nguo ya manyoya na mukaba wa ngozi kwenye kiuno.” Mufalme akasema: “Yule ni Elia wa Tisibe!”


Kisha, akawauliza Sadaka na Kivuli: “Watu wale muliowaua kule Tabori walikuwa namna gani?” Wakamujibu: “Walifanana na wewe, maana walionekana kama wana wa mufalme.”


Saulo akamwambia yule mwanamuke: “Ni mufano wa nani?” Yule mwanamuke akamwambia: “Mwanaume muzee anapanda juu, naye anajifunika kanzu.” Halafu, Saulo akatambua kwamba yule ni Samweli. Saulo akainama uso mpaka chini, kwa heshima.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ