2 Wafalme 1:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 20022 Mufalme Ahazia alipokuwa Samaria alianguka kutoka chumba kilichokuwa juu ya paa ya nyumba yake, akaumia vibaya. Kwa hiyo akawatuma wajumbe, akawaambia: “Muende kwa Bali-Zebubu, mungu wa muji wa Ekuroni, mumwulize kama nitapona ugonjwa huu.” အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |