Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Wafalme 1:1 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

1 Kisha kufa kwa Ahabu, watu wa Moabu waliasi wasitawaliwe na Israeli.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Wafalme 1:1
8 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Kisha aliwashinda Wamoabu. Aliwapanga katika mistari mateka hao, na kuwalalisha chini. Aliamuru wale waliokuwa katika mistari miwili wauawe na wale wa mustari wa tatu waachwe wazima. Hivyo, Wamoabu wakakuwa watumishi wa Daudi na wakakuwa wanamulipa kodi.


Halafu Daudi aliweka kambi za waaskari katika muji wa Waaramu wa Damasiki. Basi, Waaramu wakakuwa watumishi wake na wakakuwa wanamulipa kodi. Yawe alimupa Daudi ushindi kokote alikokwenda.


Wakati wa utawala wa Yehoramu, watu wa Edomu waliasi utawala wa Yuda, wakatawalisha mufalme wao.


Hivyo watu wa Edomu wakauasi utawala wa Yuda mpaka sasa. Wakati uleule, wakaaji wa Libuna nao wakaasi.


Akawashinda Wamoabu vilevile, wakakuwa watumishi wake na wakakuwa wanalipa kodi.


Mungu amesema kutoka pahali pake patakatifu: “Sasa kwa shangwe nitaigawanya inchi ya Sekemu; Bonde la Sukoti nitalipima sehemu sehemu.


Watakuwa na hazina ya kutosha ya maji, mbegu yao itapata maji mengi, mufalme wao atakuwa mukubwa kuliko Agagi, na ufalme wake utatukuka sana.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ