5 Basi, mufalme Daudi akatuma watu, naye akaletwa kutoka nyumba ya Makiri mwana wa Amieli kule Lodebari.
Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.
Mufalme akamwuliza: “Yuko wapi?” Siba akamujibu: “Yuko kwenye nyumba ya Makiri mwana wa Amieli kule Lodebari.”
Basi, Mefiboseti mwana wa Yonatani na mujukuu wa Saulo akaenda kwa mufalme Daudi, akainama uso mpaka chini mbele ya mufalme Daudi. Daudi akamwita: “Mefiboseti!” Naye akamujibu: “Ndiyo! Mimi mutumishi wako niko hapa.”