4 Mufalme akamwuliza: “Yuko wapi?” Siba akamujibu: “Yuko kwenye nyumba ya Makiri mwana wa Amieli kule Lodebari.”
Yosefu alijaliwa kuwaona watoto na wajukuu wa mwana wake Efuraimu na vilevile kuwapokea kama wana wake watoto wa Makiri mwana wa Manase.
Basi, mufalme Daudi akatuma watu, naye akaletwa kutoka nyumba ya Makiri mwana wa Amieli kule Lodebari.
Ninyi munashangilia juu ya muji wa Bure na kusema mumeuteka muji wa Nguvu kwa nguvu zenu wenyewe.