Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 9:2 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

2 Kulikuwa mutumishi wa jamaa ya Saulo aliyeitwa Siba. Siba aliitwa kwenda kwa Daudi. Mufalme Daudi alimwuliza: “Wewe ndiwe Siba?” Naye akamujibu: “Ndiyo, mimi mutumishi wako ndiye.”

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 9:2
7 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Siku moja Abrahamu akamwambia mutumishi wake aliyekuwa muzee kuliko wengine na musimamizi wa mali yake yote: “Weka mukono wako chini ya paja yangu,


Kwa sababu hiyo Potifari alimupa Yosefu mamlaka juu ya mambo yake yote, naye Potifari akaacha kushugulika na chochote isipokuwa tu chakula chake mwenyewe. Yosefu alikuwa kijana muzuri na wa kupendeza.


Simei mwana wa Gera, wa kabila la Benjamina, kutoka Bahurimu, alifanya haraka kwenda pamoja na watu wengine kwa kumupokea mufalme Daudi.


Simei alikwenda pamoja na watu wa kabila la Benjamina elfu moja. Siba mutumishi wa jamaa ya Saulo, pamoja na watoto wake kumi na watumishi makumi mbili, walikwenda haraka kwenye muto Yordani kumutangulia mufalme Daudi.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ