2 Samweli 9:11 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 200211 Kisha, Siba akamwambia mufalme: “Mimi mutumishi wako, nitafanya yote kulingana na amri yako.” Basi, Mefiboseti akakuwa anapata chakula chake kwenye meza ya Daudi, kama vile mumoja wa watoto wa mufalme. အခန်းကိုကြည့်ပါ။ |