Biblia Todo Logo
အွန်လိုင်း သမ္မာကျမ်းစာ

- ကြော်ငြာတွေ -




2 Samweli 8:8 - BIBLIA Maandiko Matakatifu Kwa Watu Wote 2002

8 Vilevile alitwaa shaba nyingi sana kutoka miji ya Beta na Berotayi, iliyokuwa miji ya Hadadezeri.

အခန်းကိုကြည့်ပါ။ ကော်ပီ




2 Samweli 8:8
9 ပူးပေါင်းရင်းမြစ်များ  

Daudi alitwaa ngao za zahabu waaskari wa Hadadezeri walizobeba na kuzipeleka Yerusalema.


Vilevile, Mungu alimufanya Resoni mwana wa Eliada, akuwe adui ya Solomono. Resoni alikuwa amemutoroka bwana wake, mufalme Hadadezeri wa Zoba.


Nyuma ya hayo, mufalme Daudi aliwashinda na kuwanyenyekeza Wafilistini. Akakamata muji wa Gati pamoja na vijiji vyake vilivyokuwa vya Wafilistini.


Daudi alichukua vilevile shaba nyingi sana kutoka muji wa Tibuhati na muji wa Kuni iliyokuwa miji ya Hadadezeri. Solomono alitumia shaba hiyo kwa kutengeneza nguzo na vyombo vya shaba.


Kwa juhudi kubwa, nimeiwekea akiba nyumba ya Yawe zaidi ya toni elfu tatu za zahabu, zaidi ya toni elfu moja za feza pamoja na shaba na chuma visivyoweza kupimwa maana ni vingi sana. Nimetayarisha mbao na mawe. Lakini utaweza kuongeza.


wa kufua zahabu, feza, shaba na chuma. Basi sasa, anza kazi! Yawe akuwe pamoja nawe!”


walitoa kwa ajili ya kazi za nyumba ya Mungu: toni mia moja makumi saba za zahabu, vikoroti elfu kumi vya zahabu, na zaidi ya toni mia tatu za feza, yapata toni mia sita za shaba, na zaidi ya toni elfu mia tatu za chuma.


Kutoka hapo utaendelea mpaka Berota na Sibraimu (unaokuwa kati ya Damasiki na Hamati), na mpaka muji wa Hazori-Hatikoni unaokuwa katika inchi ya Haurani.


ကြှနျုပျတို့နောကျလိုကျပါ:

ကြော်ငြာတွေ


ကြော်ငြာတွေ